Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Vin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious
    KIMATAIFA

    Vin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious

    By AdminDecember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Ronaldo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Vin Diesel amethibitisha hadharani kwamba staa wa soka Cristiano Ronaldo anaweza kushiriki katika filamu ijayo ya Fast & Furious, ambayo huenda ikawa ni sehemu ya mwisho, Fast X: Part 2.

    Kupitia chapisho la Instagram lenye picha ya wawili hao wakiwa pamoja, Diesel aliandika: “Kila mtu aliuliza, angekuwa katika simulizi za Fast … I gotta tell you he is a real one. Tuliandika jukumu kwa ajili yake … “.

    Ronaldo anatazamiwa kucheza filamu ya mwisho ya Fast & Furious, ambayo mara nyingi hujulikana kama Fast & Furious 11 au Fast X: Sehemu ya 2, ambayo ina tarehe ya kuachiwa mnamo Aprili 2027.

    Ingawa maoni ya Diesel yanaashiria nia ya dhati, wafuasi wa fimamu hiyo wanasubiri uthibitisho rasmi kutoka kwa nyota huyo wa kandanda mwenyewe.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSalah ni Mwendo wa Kuvunja na Kuweka Rekodi Tu
    Next Article Mbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.