Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.
    KIMATAIFA

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    By AdminMarch 18, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Brazil na Klabu ya Santos Neymar Jr amefunguka baada ya kutojumuishwa kwenye kikosi cha Timu yake ya Taifa kitakachocheza mechi 2 za kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia 2026.

    Neymar ameweka wazi kuwa ameumizwa kukosekana kwenye kikosi hicho kilichoitwa na Carlo Ancelotti huku akisema kuwa bado kuna nafasi moja ya mwisho.

    “Nimehuzunika, nimeumia lakini ninalenga kabisa kila siku mazoezi baada ya mazoezi, mchezo baada ya mchezo kwa sababu bado kuna nafasi moja ya mwisho, NDOTO BADO INAISHI na tutaifikia lengo letu!”, amesema Neymar Jr .

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMakocha wa Simba na Yanga Wagawana Tuzo za Mwezi Februari
    Next Article Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026

    “Reece James ni beki bora zaidi wa kulia Duniani”-Rosenior.

    March 15, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    Makocha wa Simba na Yanga Wagawana Tuzo za Mwezi Februari

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.