Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » “Reece James ni beki bora zaidi wa kulia Duniani”-Rosenior.
    KIMATAIFA

    “Reece James ni beki bora zaidi wa kulia Duniani”-Rosenior.

    By AdminMarch 15, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kocha mkuu wa Chelsea FC, Liam Rosenior, amesema klabu hiyo “imepata mchezaji bora zaidi duniani katika nafasi yake” baada ya beki wa kulia Reece James kusaini mkataba mpya wa miaka sita. 

    James, mwenye miaka 26, alijiunga na timu kubwa ya Chelsea na kucheza mechi yake ya kwanza katika kikosi cha wakubwa mwezi Septemba 2019 akitokea timu ya vijana ya ‘the blues’.

    Rosenior alisema hawezi kuacha kutabasamu kutokana na habari kwamba James ataendelea kubaki klabuni kwa muda mrefu, “Siwezi kuacha kutabasam Reece James amesaini mkataba mpya na tumehakikisha mchezaji bora zaidi duniani katika nafasi yake anaendelea kubaki hapa!”

    “Alikuwa na fursa nyingi za kuondoka katika klabu hii,” alisema Rosenior, ambaye alimrithi Enzo Maresca katika uwanja wa Stamford Bridge mwezi Januari”.

    “Sio tu kuhusu ukubwa na hadhi ya klabu aliyokulia, bali pia ni kuhusu imani na kujiamini kwake katika kile tunachokifanya na tunakotaka kufika. Tumekuwa na mazungumzo mengi kuhusu hilo ,Kwa yeye kusaini mkataba na kuweka imani yake kwetu ni hatua kubwa sana.”Amesema Rosenior.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleUbabe wa Yanga Ndani Wazidi Kuonekana Msimu wa 2025/26
    Next Article Dabi ya Azam vs Yanga Kupigwa Leo Kwa Mkapa

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    Makocha wa Simba na Yanga Wagawana Tuzo za Mwezi Februari

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.