Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Mbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora
    KIMATAIFA

    Mbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora

    By AdminDecember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mbappe
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Real Madrid imeendelea kuonyesha nguvu zake kwenye Laliga, baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Deportivo Alavés katika mechi iliyofanyika leo. Huu ni ushindi muhimu ambao unasaidia Real Madrid kushikilia nafasi ya pili katika msimamo wa ligi, ikiwa alama nne nyuma ya vinara Barcelona.

    Kylian Mbappé amefunga bao lake la 17 msimu huu katika mechi yake ya 17 ya ligi, akithibitisha kuwa bado ni miongoni mwa washambuliaji bora wa dunia. Bao la kwanza la mechi lilifungwa na Mbappé dakika ya 24, likifungua njia ya ushindi wa Los Blancos.

    Bao la ushindi la Real Madrid lilifungwa na Rodrygo, akimalizia dakika ya 76, baada ya Alavés kuwa tayari wamepata bao la kufutia machozi kupitia Vicente dakika ya 68.

    Tokeo la Mwisho (FT):

    Alavés 1-2 Real Madrid
    ⚽ 24’ Mbappé
    ⚽ 68’ Vicente
    ⚽ 76’ Rodrygo

    Ushindi huu unaendelea kuonyesha umuhimu wa Mbappé na Rodrygo kwenye safu ya mbele ya Real Madrid, huku timu ikijaribu kupunguza pengo la alama nyuma ya Barcelona vinara wa ligi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleVin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious
    Next Article Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.