Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima
    KITAIFA

    Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima

    By AdminDecember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Wakati ligi zikiwa zinasimama kupisha michuano ya mataifa ya Africa AFCON, ni wakati ambao klabu zinatazama ni nani wanamuhitaji kwenye kuongeza nguvu na yule wasie muhitaji katika kikosi.

    Kumeibuka tetesi zikizungumza juu ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba Jean Ahoua kuondoka kwenye kikosi cha timu hiyo katika dirisha dogo la usajili na kuibukia Raja Casablanca, timu ambayo inanolewa na Fadlu Davids ambae aliwahi kuwa kocha wa Simba alieagana na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu.

    Duru zinasema Fadlu anaihitaji huduma ya Ahoua kwenye kikosi chake cha Raja Casablanca, Jean ambae anasifika kama kwenye uchezaji mzuri kama kiungo mshambuliaji akicheza vizuri katika nafasi hiyo, lakini pia anafahamika vizuri na Fadlu kwasababu waliwah kufanya kazi pamoja.

    Kocha huyo anaamini ahoua anaweza kumsaidia katika kuongeza kasi katika kikosi chake lakini pia kwenye mipira ambayo imekufa kwasababu Ahoua ni mzuri katika nafasi hiyo.

    Mpaka sasa Jean amebakiwa na msimu huu mkataba wake kutamatika msimbazi ambapo kwa taarifa za ndani zinasema kuwa Simba ipo tayari kumuuza ili ifaidike na mchezaji huyo badala ya kuondoka kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora
    Next Article HII HAPA HISTORIA YA AFCON, ILIYOBEBA MATUKIO MAKUBWA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.