Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Salah ni Mwendo wa Kuvunja na Kuweka Rekodi Tu
    KIMATAIFA

    Salah ni Mwendo wa Kuvunja na Kuweka Rekodi Tu

    By AdminDecember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Salah
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Baada ya jana kutoa asisti ya goli la pili la Hugo Ekitike kwenye ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya Brighton, Mohamed Salah sasa amekuwa mchezaji wa tatu kwa wachezaji waliochangia mabao mengi wa muda wote wa Ligi Kuu Uingreza, akiwa amewapita Frank Lampard na Ryan Giggs huku akiwa amechangia mabao 280 (Magoli 190, Assists 90).

    Wachezaji wawili walio mbele yake ni Alan Shearer na Wayne Rooney.

    1 Alan Shearer 324
    2 Wayne Rooney 308
    3 Mohamed Salah 280
    4 Frank Lampard 279
    5 Ryan Giggs 272

    Salah alifanikisha hatua hii katika michezo michache zaidi kuliko wachezaji wengine katika tano bora, akiangazia ufanisi wake wa ajabu.

    Pia anashikilia rekodi ya kuhusika kwa mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa mechi 38 za Ligi Kuu, akiwa na mabao 47 msimu wa 2024/25.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleChico Ushindi Afariki, Soka la Afrika Lapata Pengo
    Next Article Vin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.