Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Ronaldo kumsogeza Lewandowski Al-Nassr
    KIMATAIFA

    Ronaldo kumsogeza Lewandowski Al-Nassr

    By AdminOctober 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Ronaldo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Cristiano Ronaldo ameishauri klabu yake ya Al-Nassr kumsajili mshambuliaji wa Barcelona Robert Lewandowski ambaye atapatikana bila malipo mwishoni mwa msimu wa 2025-26.

    Mpaka sasa hakuna mazungumzo yoyote yaliyofanywa na Barcelona kuhusu mustakabali wa Lewandowski, lakini inafahamika kuwa huu utakuwa msimu wake wa mwisho akiwa Camp Nou.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 amefunga mabao 105 na kusajili mabao 20 katika mechi 156 alizochezea Barcelona katika michuano yote, ikiwa ni pamoja na mabao manne katika mechi tisa msimu huu.

    Atletico Madrid na vilabu vingine vya Uingereza pia vihusishwa na kumtaka mchezaji huyo.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleKWA MARA YA KWANZA MOROCCO YAANDIKA HISTORIA YA KUSSHINDA KOMBE LA DUNIA KWA VIJANA
    Next Article HIVI HAPA VIINGILIO MECHI YA MARUDIANO SIMBA VS NSINGIZINI

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.