Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HIVI HAPA VIINGILIO MECHI YA MARUDIANO SIMBA VS NSINGIZINI
    KITAIFA

    HIVI HAPA VIINGILIO MECHI YA MARUDIANO SIMBA VS NSINGIZINI

    By AdminOctober 23, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Simba SC vs Nsingizini Hotspurs CAF Champions Oktoba 26,2025 unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa maamuzi.

    Ipo wazi kwamba katika mchezo wa kwanza uliochezwa Oktoba 19 2025 Eswatini, Simba SC iliibuka na ushindi wa mabao 3-0.

    Kwenye mchezo huo wa ugenini, Kibu Dennis alifunga mabao mawili na bao la ufunguzi lilifungwa na beki wa kati Wilson Nangu kwa pigo la kichwa akimalizia kona ya Maema.

    Ahmed Ally, Meneje wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa huo ni mchezo muhimu na Wanasimba wanapaswa kujitokeza kwa wingi.

    “Kuelekea mchezo huu tumeweka viingilio vya kitajiri. Viingilio ni Tanzanite – Tsh. 250,000, Platinum – Tsh. 150,000, VIP A – Tsh. 30,000, VIP B – Tsh. 20,000, VIP C – Tsh. 10,000 na Mzunguko – Tsh. 5,000.

    “Tunaamini kwamba hakuna Mwanasimba ambaye atashindwa kutoa 5,000 kushuhudia burudani kutoka kwa wachezaji wake wenye uwezo na kupata burudani. Njooni kwa wingi huu ni mtoko usije peke yako njoo na familia yako ufurahie kuipelekea Simba yako hatua ya makundi,”.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRonaldo kumsogeza Lewandowski Al-Nassr
    Next Article ARNE SLOT APOTEZA MECHI NNE MFULULIZO LIVERPOOL

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.