Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Mukwala Hakuna wa Kumzuia Libya, Gari Limewaka Hatari
    KIMATAIFA

    Mukwala Hakuna wa Kumzuia Libya, Gari Limewaka Hatari

    By AdminMarch 8, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mshambuliaji wa timu ya Al Nassr Benghazi, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha kiwango kizuri baada ya kufunga bao lake la pili tangu ajiunge na klabu hiyo.

    Mukwala alifunga bao hilo usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa ligi, ikiwa ni mechi ya pili mfululizo kwake kufunga tangu aanze kuitumikia timu hiyo. Mafanikio hayo yanaonyesha dalili nzuri kwa mshambuliaji huyo ambaye taratibu anazidi kuzoea mfumo wa timu na kuanza kuwa msaada mkubwa kwenye safu ya ushambuliaji.

    Kwa sasa Al Nassr Benghazi wanaendelea kushikilia nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama 32, wakifuatiwa kwa karibu na wapinzani wao Al Ahly Tripoli wenye alama 28.

    Kiwango kinachoonyeshwa na Mukwala kinaongeza matumaini kwa mashabiki wa Al Nassr kuwa mshambuliaji huyo ataendelea kuisaidia timu kufunga mabao mengi zaidi huku wakilenga kutetea nafasi yao ya juu kwenye msimamo wa ligi.

    Ikiwa ataendelea na kasi hii ya kufunga, Mukwala anaweza kuwa mmoja wa wachezaji muhimu katika mbio za ubingwa wa msimu huu.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleEdo Kumwembe Asema Miguu Ishaanza Kumsaliti Chama
    Next Article Iran Yatangaza Huenda Isishiriki Kombe la Dunia 2026

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    Makocha wa Simba na Yanga Wagawana Tuzo za Mwezi Februari

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.