Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป MIKE TYSON KUZICHAPA NA FLOYD MAYWEATHER
    BOXING

    MIKE TYSON KUZICHAPA NA FLOYD MAYWEATHER

    By AdminSeptember 6, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Tyson
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mabingwa wa zamani wa dunia katika masumbwi, Mike Tyson na Floyd Mayweather, wanatarajiwa kukutana ulingoni kwa pambano la maonyesho mwaka 2026.

    Kampuni ya yenye kujihusisha na mchezo wa masumbwi, CSI Sports, imetangaza pambano hilo kati ya Tyson, ambaye atatimiza miaka 60 mwaka ujao, na Mayweather mwenye umri wa miaka 48.

    Hata hivyo mpaka sasa bado hakuna taarifa kuhusu mahali ambapo pambano hilo litafanyika wala tarehe rasmi ya tukio hilo.

    Tyson, bingwa wa zamani wa uzito wa juu duniani, alishindwa kwa pointi dhidi ya Jake Paul katika pambano la raundi 8 lililofanyika Novemba 2024. Floyd Mayweather alitwaa mataji ya dunia katika aina tano ya viwango vya uzito tofauti, na hakuwahi kushindwa katika mapambano yake 50.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRC MAKALLA AKAGUA UWANJA WA AFCON ARUSHA
    Next Article MBEYA DAY NI LEO KUNOGESHWA NA MECHI KALI DHIDI YA AZAM FC

    Related Posts

    Dereva wa Anthony Joshua apandishwa kizimbani kisa ajali.

    January 3, 2026

    RAMLA, MWANAMKE WA KWANZA WA KISOMALI KUCHEZA NDONDI

    September 17, 2025

    NYEMBERE ATEULIWA KUONGOZA KAMATI YA MUDA “TPBRC”

    August 15, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.