Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » NYEMBERE ATEULIWA KUONGOZA KAMATI YA MUDA “TPBRC”
    BOXING

    NYEMBERE ATEULIWA KUONGOZA KAMATI YA MUDA “TPBRC”

    By AdminAugust 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Tpbrc
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mtangazaji wa #AzamTV, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC), baada ya kamati ya awali kumaliza muda wake.

    Nyembera ataiongoza Kamati hiyo ya muda ya TPBRC, yenye jumla ya wajumbe sita ikiwa na Mwenyekiti na Makamu wake.

    Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara iliyotolewa leo, Profesa Kabudi ameipa kamati hiyo siku 90 (kuanzia Julai 29 hadi Oktoba 29) kukamilisha marekebisho ya katiba na kuitisha uchaguzi mkuu.

    Wajumbe wapya walioteuliwa ni:
    i. Patrick Nyembera(Mwenyekiti)
    ii. Jackobu Mbuya (Makamu Mwenyekiti
    iii. Gordon Nsajigwa(Katibu)
    iV. Shafii Dauda (Mjumbe)
    V. Irene Mwasanga (Mjumbe)
    Vi. Ibrahim Abbas Kamwe (Mjumbe)

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleBRIGHTON YAENDELEA KUSHIKILIA BOMBA BALEBA KWENDA MAN UTD
    Next Article WINGA SANCHO KUTIMKIA AS ROMA YA ITALIA

    Related Posts

    Dereva wa Anthony Joshua apandishwa kizimbani kisa ajali.

    January 3, 2026

    RAMLA, MWANAMKE WA KWANZA WA KISOMALI KUCHEZA NDONDI

    September 17, 2025

    MIKE TYSON KUZICHAPA NA FLOYD MAYWEATHER

    September 6, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.