Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป WINGA SANCHO KUTIMKIA AS ROMA YA ITALIA
    KIMATAIFA

    WINGA SANCHO KUTIMKIA AS ROMA YA ITALIA

    By AdminAugust 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    sancho
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Winga wa Manchester United, Jadon Sancho, yuko kwenye hatua za mwisho za kujiunga na AS Roma kwa mkopo wa mwaka mmoja.
    Kwa mujibu wa taarifa, thamani ya dili hilo inafikia euro milioni 20, dau ambalo AS Roma wanaamini litaivutia Manchester United kukubali.

    Sancho, ambaye amejiunga na Manchester United katika kipindi kilichopita, amepitia changamoto kubwa za kupata nafasi ya kudumu kikosini. Mara kadhaa ametolewa kwa mkopo ili kuimarisha kiwango chake, lakini bado ameshindwa kujipenyeza kwenye kikosi cha kwanza cha United.

    Ripoti pia zinaeleza kuwa uhusiano kati ya Sancho na klabu hiyo ulivunjika tangu enzi za kocha Erik Ten Hag, na kilichosalia sasa ni pande zote kuheshimu masharti ya mkataba wao uliopo.

    AS Roma Manchester United
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleNYEMBERE ATEULIWA KUONGOZA KAMATI YA MUDA “TPBRC”
    Next Article AZAM FC YAMALIZA KAMBI KARATU KWA KUTEMBELEA NGORONGORO

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.