Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC
    KITAIFA

    ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

    By AdminSeptember 14, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja.

    Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake, beki huyo 2024/25 alikuwa katika kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    “Tamasha limeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mashabiki wamejitokeza wengi na hii ni ishara kuwa huu ni mwanzo mzuri kuelekea katika msimu mpya.

    “Kuna vipaji vingi ambavyo vipo ndani ya Yanga SC na nina amini kwamba nami nimeongezeka. Ninashukuru kwa kuwa nipo katika timu ambayo ina talent kubwa.

    “Ninaona mbali zaidi kwa kuwa kila mchezaji anaipigania nembo ya timu nami nimeongezeka. Wananchi ninawapenda na nina amini tutakuwa kwenye kazi kubwa kwa ajili ya kufikia mafanikio,”.

    Mchezo ujao kwa Yanga SC ni Septemba 16 2025 dhidi ya waajiri wake wa zamani Simba SC. Huu utakuwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii, mchezo maalumu wa ufunguzi wa ligi msimu wa 2025/26 utachezwa Uwanja wa Mkapa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
    Next Article JEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.