Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Yanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
    KITAIFA

    Yanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu

    By AdminSeptember 14, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025.

    Zimebaki siku tatu kwa watani hawa wa jadi kupambania taji la Ngao ya Jamii ikiwa ni mchezo rasmi wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 taji la Ngao ya Jamii lilichukuliwa na Yanga SC iliyopata ushindi kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa.

    Simba SC iliondolewa na Yanga SC katika hatua ya nusu fainali kwa kufungwa bao 1-0 na mtupiaji alikuwa ni Maxi Nzengeli alimtungua kipa namba moja Moussa Camara ambaye yupo kwenye kikosi cha Simba SC kuelekea msimu wa 2025/26.

    Timu zote mbili zimetoka kupata ushindi kwenye mechi zao zilizopita za kimataifa ambazo zilikuwa ni za kirafiki.

    Simba SC 2-0 Gor Mahia kwenye kilele cha Simba Day, Septemba 10 2025 na Yanga SC 1-0 Bandari kwenye kilele cha Yanga Day, Septemba 13 timu zote zilicheza Uwanja wa Mkapa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleARTETA: BUKAYO SAKA NA SALIBA HAWATAKI KUONDOKA ARSENAL
    Next Article ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. ALLY RAJABU ADAMU on September 15, 2025 15:50

      Comment:simba sc ni timu kubwa sisi kama wanachama wa simba hatuna hofu tunasubiri mataji.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.