Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA
    KITAIFA

    YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA

    By AdminJuly 22, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekamilisha dili lao na kiungo kiraka Mudathir Yahya.

    Mudathir Yahya mkataba wake ulikuwa umeisha mara baada ya msimu kufika ukingoni alikuwa kwenye mazungumzo na mabosi wa timu hiyo kuhusu kuongeza mkataba wake.

    Ilikuwa inatajwa kuwa kiungo huyo alikuwa kwenye rada za Simba SC ambayo ilikuwa inafanya naye mazungumzo alipokuwa huru ili awe ndani ya kikosi chao.

    Julai 22 2025, Yanga SC wamemtambulisha rasmi Mudathir kuwa ameongeza mkataba wa miaka miwili kuwa ndani ya kikosi hicho.

    Ni 2025 mpaka 2027 Mudathir atakuwa kwenye majukumu yake katika kikosi cha Yanga SC kupambania kutimiza kazi ya kusaka ushindi kitaifa na kimataifa.

    Msimu wa 2024/25 Mudathir alicheza jumla ya mechi 26 akikomba dakika 1,775 alitengeneza pasi nne za mabao na kufunga mabao manne hivyo alihusika kwenye mabao 7 kati ya 83 yaliyofungwa na Yanga SC.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’
    Next Article HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.