Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE
    KITAIFA

    HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE

    By AdminJuly 22, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    fadlu simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC msimu wa 2025/26 wameweka wazi kuwa mpango kazi wa kufanya usajili upo chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Simba SC iligotea nafasi ya tatu kwenye msimamo ikapeperusha bendera kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.

    Kwa msimu wa 2024/25 iligotea kuwa mshindi wa pili Kombe la Shirikisho Afrika na bingwa alikuwa ni RS Berkane.

    Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mpango mkubwa kwa msimu ujao ni kufanya vizuri zaidi na watafanya usajili makini.

    “Kwenye kufeli msimu uliopita ni sehemu ya matokeo kwa kuwa bado tunajenga timu hilo lieleweke na mashabiki wasikate tamaa wala wasiishiwe pawa. Kikubwa ni mshikamano na kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano.

    “Kwa msimu huu asilimia kubwa suala la usajili litakuwa mikononi mwa Kocha Mkuu, Fadlu Davids, yeye atasimamia kila kitu na viongozi watakamilisha mpango kazi.”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA
    Next Article KIBU NAYE KUIPA ‘THANK YOU’ SIMBA?….WAMAREKANI WAZIDI KUDATA NAYE KILA SIKU

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.