Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’
    KITAIFA

    MTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’

    By AdminJuly 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Aliyekuwa mtathimini viwango ‘Performance Analysist’ wa klabu ya Simba raia wa Zambia Culvin Mavunga ametangaza kuondoka ndani ya klabu hiyo baada ya misimu mitano aliyodumu ndani ya timu hiyo.

    Kupitia ukurasa wake wa instagram amewashukuru mashabiki na viongozi wa klabu hiyo kwa kipindi chote walichofanya kazi pamoja.

    “Ukurasa wangu na Simba SC imefika mwisho. Imekuwa misimu 5 ya kuvutia na timu. Tulishinda, tukashindwa na kutoka sare pamoja.

    “Pongezi zangu za dhati ziwaendee Mashabiki wa Simba, nyie watu wa muhimu, kwa Bodi na Uongozi wa Simba, asante kwa kila jambo. Kwa Benchi la Ufundi la Simba, upendo sana na nyinyi ni familia daima. Kwa Wachezaji wa Simba nawapenda sana familia. Kwa Kocha Fadlu, asante kwa mafunzo🙏🏾”

    “Nawatakia wote msimu wenye Mafanikio.Kurasa MPYA na Mwanzo Mpya unanisubiri.Endelea kubarikiwa 🙏🏾”Ameandika Mavunga.

     

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTIMU YA TAIFA YA KENYA YAJITOA KWENYE MASHINDANO YA CECAFA
    Next Article YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.