Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป TIMU YA TAIFA YA KENYA YAJITOA KWENYE MASHINDANO YA CECAFA
    KITAIFA

    TIMU YA TAIFA YA KENYA YAJITOA KWENYE MASHINDANO YA CECAFA

    By AdminJuly 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars imejiondoa kwenye mashindano ya CECAFA yanayojumuisha timu nne, yaani Tanzania, Kenya, Uganda na Senegal ikiwa ni masaa machache kabla ya kutakiwa kucheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Uganda majira ya saa 9 jioni.

    Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la mpira la Nchi hiyo limeweka wazi kuwa sababu ya timu hiyo kujiondoa ni baada ya kocha mkuu wa Taifa hilo Benni McCrthy kutoridhishwa na mazingira ya mashindano hayo.

    Awali timu ya taifa ya CONGO BRAZA VILLE ilijiondoa kwenye mashindano hayo wiki moja kabla ya michuano hiyo kuanza kutokana na kupata changamoto ya kusafiri, na baadaye Senegal ikajitokeza kuziba pengo la timu hiyo.

    Licha ya kuwa timu hiyo tayari ilikuwa imefika Jijini Arusha na kufanya mazoezi ya mwisho siku ya jana imelazimika kuanza safari ya kurejea nchini kwao Kenya kuendelea na maandalizi ya CHAN ambayo itaanza tarehe 02/08/2025.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleCV YA MOUSSA BALLA CONTE, MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 2025/2026
    Next Article MTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.