Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » YANGA SC YAMALIZANA NA MASHINE YA MABAO
    KITAIFA

    YANGA SC YAMALIZANA NA MASHINE YA MABAO

    By AdminJuly 24, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    YANGA SC hawana jambo dogo mara baada ya kumalizana na mashine ya mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhamiwaniwa na NBC. Msimu wa 2024/25 nyota huyo alikuwa kwenye ubora akiwa ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Tabora United.

    Ni Kiungo mshambuliaji aliyekuwa Tabora United, Offen Chikola alitambulishwa Yanga SC Julai 22 2025 kwa kandarasi ya miaka miwili.2024/25 akiwa na Tabora United alifunga mabao 8 kati ya 28 yaliyofungwa na timu hiyo. Ni nafasi ya tano kwenye msimamo pointi 38 baada ya mechi 30 ilikusanya Tabora United.

    Ipo wazi katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, Uwanja wa Azam Complex 1-3 Yanga SC, Novemba 7 2024 mwamuzi alikuwa Nassoro Mwinchui. Chikola alifunga bao dakika ya 19 kwa mguu wa kushoto akitumia pasi ya Yacouba akiwa nje ya 18 na dakika ya 45 alifunga bao la pili kwa mguu wa kushoto akiwa ndani ya 18.

    Dakika ya 77 ni Nelson Lunganga kwa mguu wa kulia akiwa ndani ya 18. Bao pekee la kufuta machozi kwa Yanga SC lilifungwa na Clement Mzize dakika ya 90 kwa mguu wa kulia akiwa nje ya 18 akitumia pasi ya Prince Dube.

    Aziz Ki alikosa penati iliyosababishwa na Andy Bikoko baada ya kumchezea faulo Pacome. Kwenye mchezo huo dakika ya 45 Hussen Masalanga aliyeanza langoni alionyeshwa kadi ya njano kwa tafsri yakupoteza muda na kipa huyo aliokoa mkwaju wa penati ya Aziz Ki.

    Nyota wa mchezo alikuwa ni Chikola ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo na Yanga SC ikipishana na pointi tatu mazima kwenye mchezo huo zama za Miguel Gamondi ambaye kwa msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya Singida Black Stars.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleILE STORI YA CHAMA KWENDA AZAM FC UKWELI HUU HAPA….FEI TOTO BYE BYE?
    Next Article RASMI: YANGA YAMNASA CASEMIRO WA ZANZIBAR KUTOKA MLANDEGE!

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.