Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?
    KITAIFA

    USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?

    By AdminJuly 20, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kwamba kazi inaanza kwenye usajili kwa kuwa kuna wachezaji wengine wa maana watatambulishwa hivi karibuni.

    Mpango mkubwa wa Yanga SC ulikuwa ni kufungua ukurasa Julai 22 kutambulisha wachezaji wapya ila ngoma ilibadilishwa hewani baada ya kufungua ukurasa rasmi Julai 18.

    Ni Moussa Conte alitambulishwa na Yanga SC ikiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa Yanga SC ambao ni mabingwa wa ligi kuelekea msimu wa 2025/26.

    Ali Kamwe ameweka wazi kuwa huo ni mwanzo watatambulisha wachezaji wengine wakubwa na wenye uwezo ili kuendelea pale ambapo waliishia msimu wa 2024/25.

    “Huu ni mwanzo, niliona kwamba wanasema wamekamilisha usajili wa mchezaji fulani, tunasubiri tuone itakuaje huko kwao. Ambacho tumekifanya ni mwanzo tu kazi bado inaendelea.”

    Mchezaji huyo Conte alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Simba SC walipishana naye inatajwa kwenye upande wa dau akasaini Yanga SC.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI
    Next Article TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.