Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI
    KITAIFA

    SIMBA WA AHAHIDI KUFANYA KWELI KWENYE USAJILI

    By AdminJuly 20, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    tetesi za usajili simba 2025/26
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    UONGOZI wa Simba SC umebainisha kwamba utafanya kweli kwenye usajili hivyo mashabiki wasiwe na presha mipango inaendelea.

    Ikumbukwe kwamba timu hiyo msimu wa 2024/25 ilikosa mataji yote iliyokuwa inayapambania jambo ambalo linawafanya waje na hasira zaidi. Miongoni mwa wachezaji ambao wanatajwa kuwa katika rada za Simba SC ni Feisal Salum wa Azam FC.

    Kwenye ligi ilimaliza ikiwa nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 30. Katika dakika 2,700 uwanjani ushindi ulikuwa katika mechi 25, sare tatu na ilipoteza mechi mbili. Mechi zote mbili ambazo ni dakika 180 ilikuwa dhidi ya Yanga SC ambao ni mabingwa wa ligi inayodhaminiwa na NBC.

    Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba SC 0-1 Yanga SC. Mzunguko wa pili ilikuwa Yanga SC 2-0 Simba SC. Ni mabao matatu Yanga SC walifunga mbele ya Simba SC iliyokosa kuvuna pointi kwenye Kariakoo Dabi.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kuna kazi kubwa ambayo inafanywa na viongozi mashabiki wawe na subira.

    “Viongozi wanafanya kazi kubwa kwa ajili ya kufanya usajili makini na mazuri hivyo mashabiki wawe na subira tutakuwa na furaha hakika.”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAVAMBO AMALIZA SAFARI YAKE SIMBA SC, ATOA UJUMBE WA KUAGA
    Next Article USIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.