Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA
    KITAIFA

    TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA

    By AdminJuly 20, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Kapombe
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Shomari Kapombe anaripotiwa kuwa tayari amekubaliana na klabu ya Simba kuhusu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi, licha ya mkataba wake wa awali kumalizika rasmi Juni 30, 2025.

    Vyanzo vya kuaminika kutoka ndani ya klabu vinadai kuwa hakuna presha yoyote baina ya pande hizo mbili, na kwamba mkataba mpya upo tayari na utatiwa saini muda wowote kuanzia sasa.

    Kapombe, ambaye kwa sasa yupo kwenye mipango ya moja kwa moja ya kocha mkuu Fadlu Davids, anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao kocha huyo anawategemea mno katika kikosi chake. Inadaiwa kuwa Davids alisisitiza asiondoke, jambo lililochangia kwa kiasi kikubwa maamuzi ya Kapombe kubaki klabuni.

    Kitetesi kingine kinachozidi kushika kasi ni kwamba beki huyo mwenye umri wa miaka 33 ana nafasi kubwa ya kuteuliwa kuwa nahodha mpya wa klabu kuelekea msimu ujao, akichukua mikoba ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleUSIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?
    Next Article ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Pingback: CV YA MOUSSA BALLA CONTE, MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 2025/2026 - SOKALEO

    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.