Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA
    KITAIFA

    ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

    By AdminJuly 20, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    zimbwe
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen msimu wa 2024/25 kuna uwezekano mkubwa akaibukia ndani ya kikosi cha Yanga SC akiwa ni mchezaji huru.

    Ikumbukwe kwamba Zimbwe aliongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC mwaka 2023 tayari 2025 umefikika tamati Julai 10 2025 hivyo kwa sasa mchezaji huyo ni huru.

    Julai 19 2025, Zimbwe Jr aliandika ujumbe wa kuwashukuru Simba SC akiwaaga mashabiki na wachezaji aliokuwa nao ndani ya kikosi cha Simba SC.

    Kuna asilimia kubwa Zimbwe Jr akatambulishwa ndani ya Yanga SC akiwa ni mchezaji huru kwa kuwa taarifa zinaeleza kuwa wamefikia hatua nzuri kwenye mazungumzo.

    Rekodi zinaonyesha kuwa msimu wa 2024/25 ndani ya ligi, Zimbwe alicheza mechi 27 kati ya 30 akikosekana kwenye mechi tatu na alifunga bao moja kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa KMC Complex.

    Hivi karibuni Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC aliweka wazi kuwa mkataba wa mchezaji huyo umeisha na hajaongeza mkataba. Kitakachotokea itakuwa ni maslahi ya pande zote mbili.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA
    Next Article CHE MALONE KUTIMKIA LIGI KUU YA ALGERIA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.