Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA YAENDELEZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA JEZI FEKI
    KITAIFA

    SIMBA YAENDELEZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA JEZI FEKI

    By AdminOctober 12, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KAMPENI ya Simba SC ambayo ina lengo la kutokomeza jezi feki inaendelea ambapo Wananchi wamezidi kupewa elimu kuhusu faida za kununua jezi Original.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kununua jezi Original ni jambo ambalo kila Mtanzania anapaswa kujivunia.

    Oktoba 9 uongozi wa Simba SC uliweka kambi Mwanza na kutembelea baadhi ya vituo na kuzungumza na Wananchi wa Buhongwa, Nyegezi, Nyamagana, Kisesa na Machinjioni.

    Ahmed Ally amesema kuwa kununua jezi feki kunadumaza ustawi wa maendeleo kwa muwekezaji, timu na taifa kiujumla hivyo ni muhimu kununua jezi orijino ambazo zipo kwenye maduka maalumu.

    “Hii vita sio nyepesi kila mtu anatafuta njia yake kwenye utafutaji lakini kwa kupitia jezi feki kunaumiza vibaya mno ni hasara kwa muwekezaji, hasara kwa taifa kwa kuwa kuna kodi inakosekana na mapato yanapungua.

    “Wanaonunua jezi feki ni wengi lakini pengine inatokea ananunua bila kujua ila kwa sasa ni muhimu kila Mtanzania akafurahia kuvaa kitu orijino hiyo itakuwa ni faida kwake kwa kuwa ameichangia timu yake aipendayo na amechangia kulipa kodi na anachangia maendeleo ya timu.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTFF YASIMAMISHA WACHEZAJI YANGA PRINCESS, KUPISHA UCHUNGUZI WA JINSIA
    Next Article SIMBA YAKATAA UHUNI KWENI KWENYE MPIRA WA MIGUU

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.