Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA YAKATAA UHUNI KWENI KWENYE MPIRA WA MIGUU
    KITAIFA

    SIMBA YAKATAA UHUNI KWENI KWENYE MPIRA WA MIGUU

    By AdminOctober 14, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa haukubaliani na vitendo vya kihuni kwenye mpira wa miguu kwa kuwa unarudisha nyuma maendeleo ya wachezaji na timu kiujumla.

    Simba SC inapeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa hatua ya pili inatarajiwa kucheza mchezo wake wa kimataifa dhidi ya Nsiginzini Hotspurs Oktoba 19 2025 pia inaongoza ligi ikiwa na pointi sita baada ya mechi mbili.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa vitendo vya kihuni ambavyo vinatokea uwanjani kwa wachezaji kuchezeana rafu mbaya vinaumiza wachezaji na kudumaza maendeleo ya mpira kutokana na wachezaji kukaa nje muda mrefu wakipambania hali zao.

    “Vitendo vya kihuni kwenye mpira wa miguu havifai kwa kuwa vinadumaza maendeleo ya mpira na sio mpira tu hata maendeleo ya mchezaji husika yanadumaa kwa kuwa maisha yake yapo kwenye mpira hapo anaendeleza maisha na familia.

    “Inapotokea mchezaji mwingine anamchezea faulo mbaya mchezaji hii inamaana kwamba anahatarisha maisha yake na maisha ya familia yake. Wapo wachezaji ambao wamekuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu na hii imetokana na kufanyiwa vitendo vya kihuni.

    “Muhimu kila mchezaji kuwa mlinzi wa mchezaji mwengine hili litafanya mpira usiwe wa kihuni na rafu mbaya hazifai kwa kuwa mpira ni maisha na maisha yanatengenezwa kila hatua ambayo inapigwa.”

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA YAENDELEZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA JEZI FEKI
    Next Article KOMBE LA DUNIA 2034 KUCHEZWA JANUARY 2035

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.