Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป TFF YASIMAMISHA WACHEZAJI YANGA PRINCESS, KUPISHA UCHUNGUZI WA JINSIA
    KITAIFA

    TFF YASIMAMISHA WACHEZAJI YANGA PRINCESS, KUPISHA UCHUNGUZI WA JINSIA

    By AdminOctober 8, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuhusu jinsia yake.

    Hatua hii imekuja baada ya sintofahamu kuibuka mitandaoni na katika baadhi ya duru za michezo, ambapo mashabiki na wadau wameanza kuhoji hali halisi ya jinsia ya mchezaji huyo, ambaye amekuwa akionesha kiwango cha juu mno katika michezo ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania.

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya TFF, uchunguzi huo unalenga kuthibitisha ukweli bila upendeleo, kwa mujibu wa kanuni za shirikisho hilo na taratibu za Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuhusu wachezaji wa kike.

    Kwa sasa, Mukandiyisenga atabaki nje ya kikosi cha Yanga Queens hadi uchunguzi utakapokamilika na matokeo rasmi kutolewa.

    TFF imewataka mashabiki na wadau wote wa soka kuwa watulivu na kuepuka kutoa maoni ya kudhalilisha au ya kibaguzi, ikisisitiza kuwa mchakato huu ni wa kawaida na wa kisheria katika michezo ya kimataifa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 8, 2025
    Next Article SIMBA YAENDELEZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA JEZI FEKI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.