Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SIMBA KUTO KUCHEZA TENA KARIAKOO DABI, AHMED ALLY AELEZEA UKWELI
    KITAIFA

    SIMBA KUTO KUCHEZA TENA KARIAKOO DABI, AHMED ALLY AELEZEA UKWELI

    By AdminAugust 28, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KIKOSI cha Simba leo Agosti 28 kinatarajiwa kuwasili nchini kikitokea Misri ambapo kiliweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuanza hivi karibuni 2025/2026, huku kukiwa na tetesi za Simba kuandika barua ya kuomba kuto kucheza mchezo wao dhidi ya Yanga.

    Ikumbukwe ya kwamba tarehe 16 sept kutakuwa na mtanange wa Kariakoo Dabi itakayowakutanisha miamba miwili ya soka kutoka nchini Tanzania, Simba na Yanga ukiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii.

    Ukiashiria ufunguzi wa Ligi Kuu bara ya NBC, Huku kukiwa na tetesi za Simba kuandika barua kwa TFF kuomba kuto kucheza mchezo huo hiyo ni kutokana na Simba kuwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Gaborone United.

    tetesi za usajili simba 2025/26

    Meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally ameeleza ya kwamba mchezo wao dhidi ya Yanga upo pale pale na Mnyama hajaandika barua yoyote ya kuomba kutocheza mchezo huo.

    “Watu wanatafuta kiki kutoka kwetu kwasababu sisi Simba ni tmu kubwa hivyo wanazungumzia timu kubwa ili wapate kiki, lakini sisi tupo tayari kwaajili ya mchezo huo na hatujaandika barua yoyote” Alisema Ahmed Ally.

    Ikumbukwe ya kwamba tetesi hizo zilianza kusikika baada ya CAF kutangaza ratiba ya mchezo wasimba dhidi ya Gaborone mchezo kuchezwa kati ya tarehe 18-21 hivyo ingekuwa ngumu kwa Simba kucheza mchezo huo wa Gaborone kama imetoka kucheza mchezo na Yanga hata masaa 72 yanayofahamika na FIFA baada ya kucheza mchezo ndio timu icheze mchezo mwingine yakiwa hayajakamilika.

    Lakini ratiba rasmi imetoka Simba atacheza mchezo wake wa kwanza kimataifa msimu huu dhidi ya Gaborone mnamo tarehe 19 September

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHUYU HAPA ATAJWA KUANDALIWA KUBEBA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA SC
    Next Article HUYU HAPA MCHEZAJI ANAEKIPIGA AKIWA NA MIAKA 47

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.