Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป HUYU HAPA MCHEZAJI ANAEKIPIGA AKIWA NA MIAKA 47
    KIMATAIFA

    HUYU HAPA MCHEZAJI ANAEKIPIGA AKIWA NA MIAKA 47

    By AdminAugust 28, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mchezaji
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mchezaji Stella Williams wa Beauties FC ya Namibia, mwenye miaka 47 ameweka historia kwa kuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kucheza mechi za kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa ya CAF Kwa ukanda wa COSAFA

    Stella Williams anayemudu kucheza eneo la kiungo msimu uliopita aliisaidia timu yake Kwa 90% ya mechi zake na kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Namibia ya FNB na kupata nafasi ya kushiriki mashindano hayo ya kusaka tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.

    Mchezaji huyo aliifunga magoli mawili Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Twiga Stars’ akiwa na mwaka 2013.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA KUTO KUCHEZA TENA KARIAKOO DABI, AHMED ALLY AELEZEA UKWELI
    Next Article SIMBA KUCHEZA NA TIMU YA BAJABER SIKU YA SIMBA DAY

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.