Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HUYU HAPA ATAJWA KUANDALIWA KUBEBA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA SC
    KITAIFA

    HUYU HAPA ATAJWA KUANDALIWA KUBEBA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA SC

    By AdminAugust 28, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI kikosi cha Simba SC kikitarajiwa kurejea Tanzania leo Agosti 28 2025 inaelezwa kuwa tayari benchi la ufundi lina jina la mrithi wa mikoba ya Mohamed Hussen Zimbwe Jr ambaye alikuwa nahodha mkuu msimu wa 2024/25.

    Zimbwe Jr kwa sasa hatakuwa ndani ya Simba SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya ndani ya Yanga SC. Inaelezwa kuwa benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids limechagua jina la Chamou Karabou kuwa nahodha.

    Chamou Karabou ni beki anatarajiwa kuwa nahodha wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, rai awa Afrika Kusini. Msimu wa 2024/25 hakuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba SC.

    Rekodi zinaonyesha kuwa Chamou alicheza jumla ya mechi 19 za ligi akikomba dakika 1,480 ni alitoa pasi moja ya goli ndani ya ligi kati ya mabao 69 yaliyofungwa na Simba SC baada ya mechi 30.

    Inaelezwa  Fadlu anamuandaa Chamou kuwa mrithi wa aliyekuwa beki wa kushoto wa timu hiyo msimu wa 2024/25, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ awe nahodha msimu ujao.

    Beki mkongwe wa kulia, Shomari Kapombe ambaye alikuwa nahodha namba tatu katika kikosi hicho, yeye atakuwa wa pili na siyo wa tatu kama ilivyokuwa msimu uliopita.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 28 AGOSTI 2025
    Next Article SIMBA KUTO KUCHEZA TENA KARIAKOO DABI, AHMED ALLY AELEZEA UKWELI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.