Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » RAMOS ALIUMIA SANA KUONDONA MADRID
    KIMATAIFA

    RAMOS ALIUMIA SANA KUONDONA MADRID

    By AdminSeptember 3, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Beki wa zamani wa Real Madrid Sergio Ramos ameachia wimbo unaoitwa “Cibeles” akiimba mambo ya kihisia mengi kama sintofahamu ya yeye kuondoka Madrid.

    Ramos hakutaka kuondoka kamwe. Ndoto yake ilikuwa kustaafu katika jezi nyeupe Madrid. Lakini hadithi haikuisha jinsi inavyopaswa kuwa, hakuna kwaheri ya Bernabéu zaidi ya mkutano na waandishi wa habari tu.

    Kupitia wimbo huu, hatimaye anafunguka:

    “Sijawahi kutaka kuondoka, uliniuliza nipande ndege.”
    “Ningerudi kwa furaha, mara moja na hadi mara elfu.”

    “Kuanzia mtoto mwenye nywele ndefu hadi kuwa nahodha ambaye alinyanyua kila taji, gwiji ambaye alistahili kuagwa vizuri.

    Ameimba kwa hisia Ramos.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA YATAMBULISHA CHUMA KIPYA CHA MOTO
    Next Article FOLZ ANAJIPANGA KUENDELEZA REKODI YA KUISULUBU SIMBA – KAMWE

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.