Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Neymar JR acheza na kutupia licha ya kuwa na jeraha la goti.
    KIMATAIFA

    Neymar JR acheza na kutupia licha ya kuwa na jeraha la goti.

    By AdminNovember 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    neymar
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nyota wa Timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Santos Neymar Jr siku ya jana alifanya maamuzi ya kucheza mchezo muhimu wa klabu yake wa vita ya kujinusuru kushuka daraja licha ya jeraha la goti alilonalo ambalo alitakiwa kufanyiwa upasuaji.

    Neymar Jr siku kadhaa zilizopita aliripotiwa kupata jeraha jipya la goti ambalo madaktari walishauri afanyiwe upasuaji licha ya ripoti hiyo nyota huyo alifanya maamuzi ya kucheza mchezo wa Santos dhidi ya Sport akiisaidia kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 baada ya kufunga bao na kutoa pasi ya bao huku akiimbwa na mashabiki wa timu yake.

    Baada ya mchezo huo Neymar ameahidi kuwa atakuwepo pia kwenye mchezo ujao kwani jeraha hilo si kitu cha kumzuia.

    “Jeraha hili ni la kusikitisha, la kuudhi lakini si kitu kitakachonizuia. Nitakuwepo kwenye mchezo ujao pia.”Amesema Neymar Jr.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleNyota wa zamani wa Manchester United Afungiwa miezi 6.
    Next Article Mechi dhidi ya Man City kuamua hatma ya Alonso Real Madrid.

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.