Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA
    KIMATAIFA

    NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA

    By AdminSeptember 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nchini Brazil kumeibuka simulizi ya kushtua baada ya bilionea mwenye umri wa miaka 31 kutoka jimbo la Rio Grande do Sul kuamua kumwachia nyota wa soka Neymar Jr mali zake zote, licha ya wawili hao kutokuwa na uhusiano wowote wa karibu au hata kukutana ana kwa ana.

    Kwa taarifa za vyombo vya habari vya kimataifa, kijana huyo tajiri hakuwa na mke wala watoto, na mwezi Juni 2025 aliandika wosia rasmi katika ofisi ya serikali ukiwa na mashahidi. Katika hati hiyo alielekeza majumba, kampuni na vitega uchumi vyake vyote vyenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 1 (takribani shilingi trilioni 2.5 za Kitanzania) viende kwa Neymar pekee.

    Sababu ya uamuzi huo imetajwa kuwa ni heshima na imani yake kwa utu wa Neymar, hususan unyenyekevu na ukaribu wake na baba yake, kitu kilichomvutia sana bilionea huyo.

    Kwa sasa, urithi huo mkubwa unasubiri kupitishwa kisheria na mahakama za Brazil kabla ya kuhamishiwa rasmi kwa staa huyo wa Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Brazil.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO
    Next Article TAIFA STARS KUINGIA KAZINI LEO

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.