Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO
    KITAIFA

    MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO

    By AdminSeptember 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz anatajwa kuwa na balaa zito kwenye uwanja wa mazoezi.

    Ni kiungo ambaye anatajwa kuwa mbeba mikoba ya nyota Aziz Ki ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya.

    Anaitwa Mohammed Doumbia inaelezwa kuwa katika kambi ya timu hiyo iliyopo Kijiji cha Avic Town, Kigamboni anafanya kazi kubwa katika uwanja wa mazoezi ikiwa ni balaa zito.

    Doumbia ni kati ya wachezaji wapya waliosajiliwa Yanga SC msimu ujao, amekuja kuwa mrithi wa Stephen Aziz Ki aliyeuzwa msimu uliopita kuelekea Wydad Casablanca ya  Morocco.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa wachezaji wote kambini wanafanya kazi kubwa kuelekea msimu mpya hivyo wanaamini kazi itakuwa kubwa ndani ya uwanja.

    “Wachezaji wote waliopo katika kikosi cha Yanga SC wanafanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu hilo lipo wazi. Sio Doumbia na wengine kazi yao ni kubwa chini ya benchi la ufundi na tunaamini tutakuwa na mwendo mzuri msimu mpya,”.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePaul Pogba rasmi kukiwasha ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Next Article NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.