Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MOURINHO ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA MKUU WA BENFICA
    KIMATAIFA

    MOURINHO ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA MKUU WA BENFICA

    By AdminSeptember 17, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    mourinho
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Jina la kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho linatajwa huenda likarejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ili akinoe kikosi cha Benfica.

    Benfica ilimtimua kocha wao siku ya Jumanne usiku kufuatia kipigo cha 3-2 walichokipata kutoka kwa klabu ya Qarabag ya Azerbaijani.

    Kwenye mchezo huo Benfica ilitangulia kwa mabao 2-0 lakini iliruhusu wageni wao kupambana na kushinda mchezo huo.

    Bruno Lage katika mwaka wake mmoja kama kocha wa Benfica, aliwaongoza kutwaa Kombe la Ligi ya Ureno na kumaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita.

    Rais wa Benfica, Rui Costa amewaambia waandishi wa habari mapema leo kwamba ilikuwa muhimu kubadilisha kocha.

    “Leo tumefikia makubaliano na Bruno Lage kujiuzulu kama mkufunzi wa Benfica … tunaamini ni wakati wa mabadiliko,” Rui Costa alisema.

    “Kuhusu kocha ajaye, tunatarajia kuwa na mpya kwenye benchi Vila das Aves Jumamosi ijayo.

    “Kocha wa Benfica lazima awe mshindi” alisema.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHabari Kubwa Katika Magazeti ya leo Septemba 17, 2025
    Next Article BAADA YA KUPOTEZA KARIAKOO DABI, SIMBA YATIMKA NCHINI

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.