Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป KIVUMBI LEO FAINALI YA WAFCON NIGERIA VS MOROCCO
    KIMATAIFA

    KIVUMBI LEO FAINALI YA WAFCON NIGERIA VS MOROCCO

    By AdminJuly 27, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Nigeria inatarajia kushuka dimbani usiku wa leo dhidi ya Timu ya Taifa ya Morocco kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake WAFCON katika dimba la Olympic Stadium Rabat Nchini Morocco.

     

    Morocco ilifanikiwa kufika kufika hatua hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju 4-2 ya penati dhidi ya Ghana kufuatia sare ya b1-1 huku Nigeria ikitinga fainali baada ya kuwaondosha mabingwa watetezi wa taji hilo Afrika Kusini kwa kuifunga magoli 2-1.

    Mabingwa mara 9 wa michuano hiyo Nigeria inahitaji kulipa kisasi kwa Morocco na kutwaa taji hilo kufuatia kichapo walichowahi kukipata cha mikwaju ya penati mwaka 2022 na kuondoshwa na Morocco katikaa mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo.

     

    Je Morocco watafanikiwa kubeba ubingwa wa kwanza wa mashindano hayo au Nigeria watafanikiwa kuongeza kombe la 10 la WAFCON katika kabati lao la makombe.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleNYOTA WA FOUNTAIN GATE ALAMBA MKATABA WA MIAKA 17
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 28-7-2025

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.