Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE
    KIMATAIFA

    HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE

    By AdminSeptember 4, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nyota wa zamani wa Chelsea na Real Madrid, Eden Hazard ametupilia mbali mastaa Cristiano Ronaldo, Lamine na Neymar huku akimtaja Lionel Messi kuwa ndiye mpiga chenga mkali kuliko yeye.

    Hazard alizungumza hayo katika video iliyorushwa kwenye akaunti ya X ya UEFA Champions League.

    Kwenye video hiyo mwanasoka huyo mstaafu aliombwa kutulia (kukaa kimya) hadi atakaposikia jina la mwanasoka, ambaye anaamini alikuwa mpiga chenga bora kuliko yeye.

    Katika orodha hiyo majina yalianza kama ifuatavyo; Desire Doue wa Paris Saint-Germain, Rafel Leao wa AC Milan, Khvicha Kvaratskhelia wa Paris Saint-Germain, na Raphinha wa Barcelona, lakini Hazard alikaa kimya.

    Uso wake ukashtuka kidogo baada ya kutajwa jina la Riyad Mahrez winga wa zamani wa Manchester City na jina la winga wa Real Madrid Vinicius Jr, lakini alikaa kimya.

    Hata baada ya kutajwa majina ya Christiano Ronaldo na Lamine Yamal aliendelea kukaa kimya.

    Lilipotajwa jina la Neymar alitafakari kidogo na kuendelea kukausha, hata hivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alivunja ukimya lilipotajwa jina la Messi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA
    Next Article Paul Pogba rasmi kukiwasha ligi ya Mabingwa Ulaya.

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.