Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA
    KITAIFA

    MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA

    By AdminSeptember 4, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    manara
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mgombea Udiwani Kata ya Kariakoo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara, amekutuna na kufanya kikao na Mtumishi wa Mungu kutoka Kanisa la Arise and Shine International, Mtume Boniface Mwamposa leo, Septemba 3, 2025.

    Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar es Salaam na kimekuwa na lengo la kuendeleza ushirikiano kati ya viongozi wa kisiasa na wa kidini, hasa katika masuala yahusuyo maendeleo ya Jamii na ustawi wa wananchi wa Kariakoo na Tanzania.

    Wiki iliyopita Manara alikutana na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zubeir na Mjumbe wa Baraza la Maulamaa nchini, Sheikh Hassan Chizenga ambao walimuombea Dua.

    Manara amemshukuru Mtume Mwamposa kwa mapokezi na kwa kuonesha utayari wa kushirikiana katika kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii.

    Mtume Mwamposa amepongeza juhudi za mgombea huyo na kuahidi kuendelea kushirikiana naye katika kuhakikisha ustawi na maendeleo ya wananchi, hasa kwa kuhakikisha jamii inakuwa na maadili na nidhamu.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleAUDIO Paul Clement – In You MP3 DOWNLOAD
    Next Article HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.