Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Fenerbahce yamfuta kazi Jose Mourinho
    KIMATAIFA

    Fenerbahce yamfuta kazi Jose Mourinho

    By AdminAugust 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Fenerbahce
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu Fenerbahce wameamua kumfuta kazi kocha wao Jose Mourinho. Klabu hiyo ya Uturuki imeamua kuachana na Mourinho ikiwa ni siku mbili baada ya klabu hiyo kuondolewa na Benfica katika mchujo wa Ligi ya Mabingwa.

    Meneja huyo wa zamani wa Chelsea, Manchester United, na Tottenham alijiunga na Fenerbahce msimu wa joto wa 2024, miezi sita baada ya kutimuliwa na Roma.

    Aliiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita lakini akashindwa kupata taji lolote.

    Fenerbahce ilifungwa 1-0 na Benfica katika mchezo wa mkondo wa pili wa mchujo wa kuwania kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleDABI YA KARIAKOO KUCHEZWA DECEMBER 13
    Next Article YANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.