Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป DABI YA KARIAKOO KUCHEZWA DECEMBER 13
    KITAIFA

    DABI YA KARIAKOO KUCHEZWA DECEMBER 13

    By AdminAugust 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Bodi ya Ligi kuu Tanzana (TPLB) imetangangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu Tanzania bara kwa msimu wa 2025/2026 inayotarajiwa kuanza Septemba 17 2025 na kumalizika May 23 2026.

    Katika ratiba hiyo, mchezo mkubwa wa dabi ya kariakoo kati ya Simba dhidi ya Yanga mzunguko wa kwanza ukipangwa kuchezwa tarehe 13/12/2025.

    Katika ratiba hiyo pia mechi za ufunguzi wa Ligi zinazotarajiwa kuchezwa tarehe 17/9/2025 ni pamoja na mchezo wa;

    KMC vs Dodoma Jiji (KMC)
    Coastal Union vs TZ Prisons (Mkwakwani)

    Ratiba imezingatia nafasi za mashindano ya kimataifa kwa ngazi ya klabu na timu za taifa lakini pia mashindano ya ndani kama Muungano (21 April mpaka 26 April), Mapinduzi (01 Jan mpaka 13 jan).

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN
    Next Article Fenerbahce yamfuta kazi Jose Mourinho

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.