Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN
    KITAIFA

    SIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN

    By AdminAugust 29, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    INATAJWA kuwa Simba SC imefanikiwa kumsajili beki wa kati wa Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Klabu ya JKT Tanzania, Wilson Nangu kwa mkataba wa miaka miwili.

    Hivyo beki huyo aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Yanga SC huenda msimu mpya wa 2025/26 akawa kwenye uzi wa Simba SC.

    Nangu amekuwa bora kwenye timu ya JKT Tanzania kwenye eneo la ulinzi jambo ambalo linatajwa kuwa sababuu ya Simba SC kuisaka saini yake kwa ajili ya kuwa naye kikosini.

    Kikosi cha Simba SC kilikuwa kambini Misri tayari Agosti 29 kimerejea kwenye ardhi ya Tanzania kwa maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 17 2025.

    Mbali na ligi kuna Simba Day ambayo inatarajiwa kuwa Septemba 10 2025 ambapo kutakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

    Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya Simba, JKT Tanzania imekubali kumuachia nyota kwa sharti la kupewa beki David Kameta na Awesu Awesu kwa mkopo wa mwaka mmoja.

    Mbali na Nangu inatajwa kuwa tayari Simba SC imemalizana na kipa namba moja wa JKT Tanzania ambaye alikuwa chaguo la kwanza kwenye mashindano ya CHAN 2024 na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Yakoub Seleman ambaye tayari ameshaagwa na timu yake hiyo.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA KUANZIA SEPTEMBA 17, RATIBA IPO HAPA
    Next Article DABI YA KARIAKOO KUCHEZWA DECEMBER 13

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.