Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » CLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA
    KITAIFA

    CLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA

    By AdminAugust 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    MSHAMBULIAJI namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi msimu wa 2024/25 Clement Mzize bado ana mkataba na Yanga SC kuelekea msimu wa 2025/26.

    Mzize amekuwa akitajwa kuwa katika rada za timu mbalimbali ambapo kuna timu moja kutoka Tunisia inatajwa kuweka dau kubwa mezani kupata saini yake kwa ajili ya changamoto mpya.

    Rekodi zinaonyesha kuwa msimu wa 2024/25 Mzize alifunga jumla ya mabao 14 kwenye ligi ambapo Yanga SC walitwaa ubingwa na safu ya ushambuliaji ya timu hiyo ilifunga jumla ya mabao 83 ikiwa ni timu iliyofunga mabao mengi.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amebainisha kuwa Mzize ni mchezaji wa Yanga SC na kuna ofa ambazo zipo ikiwa zitajibiwa taarifa itatolewa kuhusu mchezaji huyo.

    “Clement Mzize bado ana mkataba na Yanga SC hivyo kwa sasa ni mali yetu mashabiki ninapenda kuwahakikishia kuwa mchezaji tupo naye hajaondoka. Kuhusu ofa kuna ofa zaidi ya mbili kwa mchezaji wetu hizo zinafanyiwa kazi.

    “Makubaliano yakifika taarifa itatolewa kwa kuwa mchezaji bado yupo hivyo hakuna tatizo kuhusu wengine kusema hivi na vile, viongozi tupo na masuala ya kimkataba yanatatuliwa kwa mkataba.”

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024
    Next Article SIMBA YACHEZEA MABAO 4 HUKO MISRI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.