Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024
    KITAIFA

    MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024

    By AdminAugust 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Hemed Suleman maarufu kwa jina la Morocco itacheza na timu ya taifa ya Morocco kwenye mchezo wa robo fainali CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa.

    Tanzania inaongoza kundi B ikiwa na pointi 10 baada ya mechi nne ambapo katika mechi hizo ilipata ushindi mechi tatu na kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa.

    Agosti 22 2025 wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Ikumbukwe kwamba Morocco ilikuwa Kundi A imegotea nafasi ya pili ikiwa na jumla ya pointi 9 baada ya kucheza jumla ya mechi nne katika CHAN 2024. Vinara wa kundi A ni  Kenya iliyokusanya jumla ya pointi 10 sawa na Tanzania.

    Morocco ambaye ni kocha wa Tanzania aliweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali na wanatambua kila kundi lilikuwa na timu ngumu.

    “Kila kundi lilikuwa na timu ngumu hivyo hatuna mashaka na mpinzani wetu. Niliwatazama Kenya, Morocco kila kundi.Kwenye hii michuano hakuna timu nyepesi. Tupo tayari kwa ajili ya kupambana na wachezaji wanatambua hatua inayofuata ni ngumu zaidi.”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleFOUNTAIN GATE YAANDAA MICHUANO YA KIMATAIFA YA PRE SEASON
    Next Article CLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.