Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA YACHEZEA MABAO 4 HUKO MISRI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI
    KITAIFA

    SIMBA YACHEZEA MABAO 4 HUKO MISRI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI

    By AdminAugust 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu ya ENPPI ya ligi kuu Nchini Misri imetangaza kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa siku ya  jana jijini Cairo, Misri.

    Klabu ya Simba ilishiriki kwenye mchezo huo kwa mualiko maalum wa klabu hiyo katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa klabu ya hiyo ya ENPPI.

    Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri, Jenerali Richard Makenzo, akishirikiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa ENPPI, Bwana Ayman Al-Shari.

    Licha ya kuwa klabu ya Simba haijathibitisha kucheza mchezo huo lakini timu ya Enppi imethibitisha hilo kupitia ukurasa wao wa Instagram walipoambatanisha na picha za matukio ya mchezo huo.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleCLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA
    Next Article ROONEY AWAONYA LIVERPOOL JUU YA MCHEZAJI ‘ISACK’ KUIGOMEA NEWCASTLE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.