Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » CHELSEA FC MABINGWA FIFA CLUB WORLD CUP 2025 MBELE YA PSG
    KIMATAIFA

    CHELSEA FC MABINGWA FIFA CLUB WORLD CUP 2025 MBELE YA PSG

    By AdminJuly 14, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    FIFA Club World Cup 2025 mashindano haya yalianza kurindima Juni 14 na kugota mwisho Julai 13 2025 ambapo ni Chelsea kutoka England ilitwaa taji hilo mbele ya PSG kwa ushindi wa mabao 3-0 ni usiku wa kuamkia Juni 14 fainali ilichezwa.

    Ni mabao ya Cole Palmer ambaye alifunga mabao mawili dakika 22 na 30 mbele ya PSG na bao moja likifungwa na Joao Pedro dakika 43. Kazi iliisha kabla ya mapumziko mbele ya Rais wa Marekani Donald Trump ambaye alikuwa sambamba na Rais wa FIFA Gianni Infantino.

    Enzo Maresca aliwapa mbinu wachezaji wa Chelsea kupata ushindi mbele ya PSG. Mashabiki wengi hawakutarajia hili ila imetokea. Mbinu za Luis Enrigue Kocha Mkuu wa PSG zilikwama.

    Luis Enrique alipata makasiriko baada ya kupoteza mchezo huo. Ilionekana walikuwa kwenye mzozo na Joan Pedro wa Chelsea.

    Kulikuwa na makundi 8 katika mashindano na viwanja 12 vilitumika kwa ajili ya mechi 63 ambazo zilichezwa nchini Marekani ambao walikuwa wenyeji wa mashindano haya makubwa.

    Fainali ilichezwa Uwanja wa MetLife na mchezo wa ufunguzi ulichezwa Uwanja wa Miami’s Hard Rock.

    Taji la FIFA Club World Cup ambalo ni jipya ubunifu wake umepita kwa wataalamu kutoka FIFA wakishirikiana na Global Luxury Jeweller Tiffany & CO.

    Shughuli za ushindani ilikuwa ni kutoka timu 32 ambazo zilishiriki mashindano hayo makubwa na Bara la Afrika pia kulikuwa na timu ambazo zilishiriki.

    Afrika ni timu nne ambapo tatu zilipatikana kutoka CAF Champions League na moja kutokana na raking yao, Asia timu 4, Europe 12, America ya Kati timu 4, Oceania timu moja, America ya Kusini timu 6 na timu mwenyeji alitoa timu moja.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleWANAOACHWA NA KUBAKI SIMBA NA YANGA HAWA HAPA
    Next Article PACOME KUONGEZA MKATABA YANGA SC

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.