Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA
    KIMATAIFA

    AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA

    By AdminJuly 28, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja pekee.

    Kupitia taarifa rasmi ya klabu hiyo, AS FAR imeuthibitisha kuachana na beki huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa heshima na shukrani kwa mchango wake katika kikosi hicho.

    Inonga alijiunga na AS FAR Rabat msimu wa 2024/2025 akitokea Simba SC ya Tanzania, ambako alikuwa nguzo muhimu katika safu ya ulinzi na mmoja wa wachezaji waliopendwa zaidi na mashabiki.

    “Tunamshukuru Henock Inonga kwa huduma yake ndani ya kikosi chetu na tunamtakia kila la heri katika hatua inayofuata ya maisha yake ya soka,” ilisomeka sehemu ya taarifa ya klabu hiyo.

    Hadi sasa, haijafahamika rasmi ni timu gani inayomuwinda au iwapo atarejea kucheza Afrika Mashariki, ingawa mashabiki wa Simba SC wameendelea kuonyesha matarajio ya kumuona akirudi Msimbazi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 28-7-2025
    Next Article UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, MWANA FA AFUNGUKA

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.