Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, MWANA FA AFUNGUKA
    KITAIFA

    UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, MWANA FA AFUNGUKA

    By AdminJuly 28, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    cecafa
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma maarufu kwa jina la FA amebainisha kuwa timu ya Tanzania ipo vizuri. Hayo alisema mara baada ya Tanzania kupata ushindi dhidi ya Uganda. Mwinjuma amesema kwenye mpira wa miguu lolote linaweza kutokea.

    Ikumbukwe kwamba kwenye mashindano maalumu ya CECAFA ambayo yalishirikisha timu tatu, Tanzania, Uganda na Senegal bingwa ni Tanzania.

    Katika mchezo wa Julai 27 2025 uliochezwa Uwanja wa Black Rhino baada ya dakika 90 Tanzania ilipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Senagal.

    FA alisema: “Timu ipo tayari sijaona timu nyingi zikishiriki.Ila kwa timu ambazo zimeshiriki Uganda na Senegal nit imu nzuri. Kwa sasa tuna nafasi kitwakimu kuchukua ubingwa huu.

    “Kupata matokeo mbele ya Uganda, Senegal hapo unaona kwamba tumechukua CHAN ya huku Karatu. Bado CHAN 2024 ya Afrika nzima ambayo tunakwenda kushiriki. Tuna nafasi kubwa kuchukua kombe hili kuliko wakati wowote ule ila kwenye mpira lolote linaweza kutokea,”.

    Taifa Stars
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleAS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA
    Next Article PAMBA JIJI YASITISHA MKATABA NA KOCHA FRED MINZIRO, YAANZA KUSAKA MRITHI WAKE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.