Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA
    KITAIFA

    AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA

    By AdminAugust 19, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba , Ahmed Ally, amesema wachezaji ambao itawatangaza si kama inamalizia zoezi la usajili, la hasha, bali imeshafanya hivyo na imeshapata vibali pamoja na Hati za Uhamisho wa Kimataifa, ITC.

    “Hawa tuliowatangaza ambao kila mmoja anawafahamu hawajatosha bado kuna vyuma vitatu hatujavitambulisha, safari hii hatutaki mchezo,” alisema Ahmed.

    Alisema wameshamaliza usajili wa wachezaji wote wa kigeni kwani mwisho wa usajili kwa nyota hao ilikuwa ni Agosti 15, mwaka huu.

    “Tumemaliza usajili wa wachezaji wote wa kimataifa, tumepata vibali vyao pamoja na ITC zao na tayari dirisha la usajili la wachezaji wa nje ya nchi limeshafungwa tangu Agosti 15.

    Hata wale ambao bado hatujawatangaza nao tumeshamaliza vibali na ITC zao ina maana ni wachezaji halali wa Simba tunasubiri wakati tu tulioupanga ili tuwatambulishe.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleNEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE
    Next Article HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.