Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE
    KITAIFA

    NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE

    By AdminAugust 19, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Neymar
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nyota wa Brazil na klabu ya Santos Neymar Jr usiku wa kuamkia leo alitoka uwanjani akimwaga machozi baada ya kukumbana na kipigo kikubwa zaidi kwenye maisha yake ya soka klabu yake ikikumbana na kipigo cha magoli 6-0 dhidi ya Vasco da Gama kwenye mchezo wa ligi kuu Nchini humo.

    Akizungumza baada ya mchezo huo nyota huyo mwenye miaka 33 aliyejiunga na klabu hiyo ya nyumbani kwao mapema mwaka huu amesema amevunjika moyo na uchezaji wa timu yake.

    “Ninajisikia aibu,nimevunjika moyo kabisa  na uchezaji wetu mashabiki wana kila haki ya kuandamana na wakitaka kulaani na kutukana wana haki hiyo” Amesema Neymar baada ya mchezo huo.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA
    Next Article AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Web Development Company in Kochi,Kerala on August 19, 2025 15:48

      I appreciate you sharing this blog post. Thanks Again. Cool.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.