Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS
    KITAIFA

    HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS

    By AdminAugust 19, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mdau maarufu wa mchezo wa mpira wa miguu Nchini Haji Manara amewajibu waandishi wa habari wa Kenya waliosema Taifa Stars wameumaliza mwendo kwenye mashindano ya CHAN baada ya kupangwa na Morocco.

    “Kwani Sisi Tanzania ni Majirani wa Kenya au Watani zetu ? Au Siku hizi ni Mahasimu wa jadi? Na nani kawaambia wao tayari washafuzu kwa nusu fainali ?

    “Halaf hii lugha ya kusema ngoja niongee kwa kiswahili ni dharau kuonyesha Wabongo hatujui kingereza. Aliowaambia Englisha ndio Alfa na Omega nani? Pls Acheni hayo mambo ndugu zetu, Sisi ni Wamoja na ni mipaka ya kikoloni iliyotufanya tuwe Mataifa mawili tofauti!!”.

    “Ok,Tutawapasua Morocco Ijumaa hii na kuanzia leo ntatumia nguvu kubwa kuhamasisha tukaujaze Uwanja wa Mkapa ambao ndio Baba la Viwanja Afrika Mashariki”.Ameandika Haji Manara.

    Taifa Stars
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleAHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA
    Next Article RAIS WA CAF AMPONGEZA RAIS WA TFF KWA KUREJEA TENA MADARAKANI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.