Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป YANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25
    KITAIFA

    YANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25

    By AdminMay 24, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WABABE wawili ndani ya ardhi ya Tanzania kwenye eneo la mpira wa miguu ndani ya ligi ya vijana huko kwao mambo ni magumu kutokana na aina ya matokeo ambayo wanayaoata ndani ya uwanja.


    Ni Yanga SC na Simba SC katika NBC Youth League 2024/25 mambo ni magumu kwao kutokana na mwendo ambao wapo nao katika makundi tofauti waliyopo kila mmoja kwa wakati wake.


    Katika nane bora, Yanga SC Youth ipo kundi B ambalo kinara ni Kagera Sugar mwenye jumla ya pointi 4 baada ya mechi mbili ndani ya dakika 180.


    Ushindi ni kwenye mchezo mmoja na sare mchezo mmoja huku safu ya ushambuliaji ikitupia mabao matatu na imeruhusu kifungwa bao moja.


    Yanga SC Youth ni nafasi ya nne baada ya mechi mbili zote imepoteza ilianza Yanga SC 1-2 Tanzania Prisons kisha ikapoteza kwa kufungwa mabao 32 dhidi ya Fountain Gate iliyo nafasi ya pili.


    Simba SC Youth kwenye kundi A nafasi ya tatu na pointi mbili baada ya kucheza mechi tatu imepoteza moja na kuambulia sare mbili kwenye mechi ambazo ilishuka uwanjani.


    Kwenye kundi A vinara ni Azam FC wenye pointi 7, nafasi ya pili ni KenGold yenye pointi 6, nafasi ya tatu ni Simba SC yenye pointi 2 na nafasi ya nne ni Dodoma Jiji yenye pointi moja.


    Kwenye kundi B vinara ni Kagera Sugar weye pointi nne, Fountain Gate wenye pointi nne nafasi ya pili, nafasi ya tatu ni Tanzania Prisons wenye pointi tatu na Yanga SC nafasi ya nne haijavuna pointi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA SC KUINGIA KWA MKAKATI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025
    Next Article MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.